KUFANYIKA MAJIBU NINI?
Majibu nikutoa utatuzi wa tatizo lililopo au yaliyopo
Mfano tunapo kua na hitaji lamaji katika mjiwetu mtu
mmoja akajitolea kwafedha zake
kuchimba kisima na maji yakawa yana patikana kwamwaka mzima ingawa nikwafedha atakua amejibu tatizo lamaji kwake na watu wengine kitakacho bakia niwatu kutafuta fedha kwaajili yakununulia maji lakini siomaji haya patikani
Watu
wengi wana hangaika juu ya maisha yao kuwa ya shida yatabu ni kwa sababu hawaja amua kuijibu
dunia juu ya matatizo yake ISAYA 2:17-20
Hofu na shimo na mtego vijuu yako ewe
mwenye kukaa duniani itakua kila akimbiae
sauti ya hofu ataanguka katika
shimo nakila apandaye nakutoka
shimomoni atanaswa na mtego kwa maana madirisha yalio juu yamewekwa wazi
na misingi yadunia inatikisika
Kwajinsi hii
dunia inahitaji majibu katika
halizote dunia inamisingi mikubwa mine
(1)
Dini za
ulimwengu zimeshindwa kutoa majibu
ya kutosheleza kwa watu nazo zime pasuka maadili yame haribika
(2)
Msingi
wasiasa umepasuka wanasiasa ni waongo walarushwa mafisadi wauaji
(3)
Uchumi wa inchi
dunia kuwa ngumu watu wachache kuchukua ardhi nakuji limbikizia mali na kuficha fedha
(4)
Jeshi : haliya usalama wa inchi
na dunia sionzuri viongozi wana
salitiana kutaka madaraka watu kupinduana hivyo usalama
duniani nimdogo hivyo vyote
vina hitaji majibu
KUFANYIKA MAJIBU (A)TAMBUA WITO WAKO
Nivema kufahamu kuwa unatoa majibu
kwa watu ndivyo unavyopunguza matatizo
yako au ndivyo unavyo patamajibu
ya maisha yako au mahitaji yako
WITO NINI? Witoniile hali yakuitika
mguso wandani nakuufanya katika utendaji Mf Watoto waadamu
waliitika wito uliokua ndani yao
mmoja alijisikia kuwa mkulima na mwingine alijisikia kuwa mfugaji MWANZ 4:1-8 Ibrahimu aliitika wito wakutoka
ur-ya ukaldayo na kwenda kanani
mwanz 12:1-9 aliitika wito alio tumwa na mungu
AINA ZA WITO
Hakuna mtuasiye nawito hapa duniani isipokuwa inaweza ikawangumu
kujitambua ameitwa katika witogani
(1)wito wa mambo yakijamii :Rum 13:1-7 wito huu unahusu huduma zakijamii
na pia mungu anahusika katika wito huu ingawa wengi wana puuzia wanaona siokazi yamungu lakini nikazi ya Mungu ukifanya kwa
uaminifu nabidii Mungu anakubariki
(2)wito washughuli ambazo zina onekana
niza kawaida katika jamii kutoka31:1-3 kutoka 35:30 kwahiyo Mungu
aliwaita kwashughuli za kiufundi
(3)wito maalumu kwaajili yakazi ya Mungu Efeso 4:11 Mtume Manabii Wainjilisti Walimu
wachungaji
(4)Wito wa huduma ya masaidiano
kanisani wazee wa kanisa
mashemasi wahudumu waimbaji 1kori
12:28-29 mdo 6:1-5 huu niwito wamungu ana uheshimu na ukifanya kwabidii Mungu ana kubariki
Mtu anaweza kuwa nawito zaidi
yammoja napia watuwengine huzaliwa nao
kwaujumla wanao mpaka awepo mwenye ujuzi wakuibua
wito ulioko ndani ya mtu hivyo hujikuta
wapo wapo tu mpaka aonekane mwenye hekima
yakuwasaidia : mtu anajisikia kuimba
Lakini hajui kuimba huyuana hitaji mwenye elimu yakuimba,
amfundishe
KUFANYIKA MAJIBU :(B)MATUMAINI
YALIOKO KATIKA WITO
Matumaini
nini ?
Watuwengi wame katatamaa
kuendelea kukaa katika witowao kwa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni