Jumatano, 28 Desemba 2016



KUFANYIKA MAJIBU NINI?
Majibu nikutoa utatuzi wa tatizo lililopo au yaliyopo
 Mfano tunapo kua na hitaji  lamaji katika mjiwetu  mtu  mmoja  akajitolea kwafedha zake kuchimba  kisima na maji yakawa  yana patikana kwamwaka mzima  ingawa nikwafedha atakua amejibu tatizo  lamaji kwake na watu wengine  kitakacho bakia  niwatu kutafuta fedha kwaajili  yakununulia maji lakini siomaji haya patikani
              Watu wengi wana hangaika juu ya maisha yao kuwa ya shida  yatabu ni kwa sababu hawaja amua kuijibu dunia juu ya matatizo yake  ISAYA 2:17-20 Hofu na shimo na mtego  vijuu yako ewe mwenye kukaa duniani  itakua kila akimbiae sauti ya hofu ataanguka  katika shimo  nakila apandaye nakutoka shimomoni  atanaswa na mtego  kwa maana madirisha yalio juu yamewekwa wazi na misingi yadunia inatikisika
      Kwajinsi hii dunia inahitaji  majibu katika halizote  dunia inamisingi mikubwa mine

(1)    Dini  za ulimwengu  zimeshindwa  kutoa majibu  ya kutosheleza  kwa watu  nazo zime pasuka maadili yame haribika
(2)    Msingi  wasiasa  umepasuka  wanasiasa ni waongo walarushwa  mafisadi  wauaji
(3)    Uchumi wa inchi  dunia kuwa ngumu watu wachache kuchukua ardhi nakuji limbikizia  mali na kuficha fedha
(4)    Jeshi : haliya usalama  wa inchi  na dunia  sionzuri viongozi wana salitiana kutaka madaraka  watu kupinduana  hivyo usalama  duniani  nimdogo  hivyo vyote  vina hitaji majibu
               
                KUFANYIKA MAJIBU  (A)TAMBUA WITO WAKO
Nivema kufahamu kuwa  unatoa majibu  kwa watu ndivyo unavyopunguza matatizo  yako au ndivyo  unavyo  patamajibu  ya maisha yako  au mahitaji yako
       WITO NINI? Witoniile hali yakuitika  mguso wandani  nakuufanya  katika utendaji  Mf  Watoto  waadamu  waliitika wito uliokua ndani yao  mmoja alijisikia  kuwa mkulima  na mwingine alijisikia kuwa  mfugaji MWANZ 4:1-8  Ibrahimu aliitika wito  wakutoka  ur-ya ukaldayo na kwenda kanani  mwanz 12:1-9 aliitika wito alio tumwa na mungu
                  AINA  ZA  WITO
Hakuna mtuasiye nawito  hapa duniani isipokuwa inaweza ikawangumu kujitambua  ameitwa  katika witogani
 (1)wito wa mambo yakijamii   :Rum 13:1-7 wito huu unahusu huduma  zakijamii  na pia  mungu anahusika  katika wito huu ingawa  wengi wana puuzia  wanaona siokazi yamungu  lakini nikazi ya Mungu ukifanya kwa uaminifu  nabidii Mungu anakubariki 
(2)wito washughuli ambazo  zina onekana  niza kawaida  katika jamii  kutoka31:1-3 kutoka 35:30 kwahiyo Mungu aliwaita  kwashughuli za kiufundi
(3)wito maalumu  kwaajili yakazi  ya Mungu Efeso 4:11 Mtume  Manabii Wainjilisti  Walimu  wachungaji
(4)Wito wa huduma ya masaidiano kanisani  wazee  wa kanisa  mashemasi  wahudumu waimbaji 1kori 12:28-29 mdo 6:1-5 huu niwito wamungu ana uheshimu  na ukifanya kwabidii Mungu ana kubariki 
              Mtu anaweza kuwa nawito zaidi yammoja  napia watuwengine  huzaliwa nao  kwaujumla  wanao mpaka  awepo mwenye ujuzi  wakuibua  wito ulioko ndani ya mtu  hivyo hujikuta wapo wapo tu  mpaka aonekane mwenye  hekima  yakuwasaidia : mtu anajisikia kuimba
Lakini hajui kuimba  huyuana hitaji mwenye elimu yakuimba, amfundishe
          KUFANYIKA  MAJIBU :(B)MATUMAINI YALIOKO  KATIKA WITO
Matumaini  nini ?
        Watuwengi wame katatamaa  kuendelea  kukaa katika witowao  kwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni