Jumapili, 29 Januari 2017



MISINGI YA IMANI

Utangulizi : Fundisho hili msingi wa imani lili fundishwa kwa  lengo la kuimalisha washirika  wapya kwenye masomo ya misingi na mafundisho haya maalumu ya msingi yameweza kugawangwa katika vipengele sita na kufundishwa kwa wazi kabisa kama ifuatavyo.
            Biblia ni neno la Mungu.
Hapa Biblia ilielezwa wazi kuwa Biblia maana yake ni kitabu na inavitabu sitini na sita vilivyo andikwa kama Barua ,Historia,Masimulizi,Mashairi,Tenzi na Matukio ya mwisho yote hayo yakiwa na maudhui ya nayo fanana. Na Mungu alihariri kitabu hiki kwa zaidi ya miaka1500-1400.kabla ya kristo hadi  mwaka wa 100 B.K na waandishi wake ni arobaini 40, wamo Wachungaji  wakuki Mashujaawa vita ,Makasisi,Manabii,Wafalme ,Madaktari wan tiba ,wasomi na wahudumu .Kila kizazi ,Kila utamaduni taifa na kila kabila laweza kupona kwa hiyo tumethibitisha kuwa Biblia ni neon la Mungu tungika kwa maana. Biblia ili vuviwa na Mungu  .Biblia ndiiyo kanuni na mwongozo wetu wa maisha ,Biblia ni kitabu cha mawazo ya Mungu hukupatia yote unayohitaji kwa maisha ya kiroho na maendeleo ya mkristo ( 2petro 1:20-21 isaya 55:7-11, 1petro 2:2 . Mathayo 4:4,
Utatu Mungu mmoja aliye aliyejidhihirisha katka nafasi tau. Biblea imeeleza kuwa Mungu tunaye mwamini sisi wakristo ni mmoja aliye jidhihirish katika nafsi tatu kumb 6:4, Mwanzo 1:26 wakati wa uumbaji alisema natufanye. (Mwanzo 1:26), Mungu amejitaja katika wingi (mwanzo 11:6-7) utatu una maanisha (mathayo 28:19) (a) Mungu Baba (b) Mungu mwana, (1) Mungu Roho mtakatifu na biblia inataja kuwa hao wote watatu ni Mungu. Yohana 1:1, 14 Y esu ni Mungu (2) Roho mtakatifu ni mungu
Mdo 5:3-4)
   Uungu wa Yesu. hapa biblia imeeleza kuwa yesu alikuwepo kabla ya kuzaliwa na Bikira mariamu. Mith 30:4 Baba yake Yesu ni Mungu na Yesu ni zaidi ya mtu mwema. Nabii na Yesu Mwenyewe ni Mungu. Maana alijiita niko Yohana 8:57-58 kwa hiyo kiini cha ukristo ni Uungu wa yesu. Utume wa Yesu.
 Utume wa Yesu alikuja ulimwenguni kwa vile mwanadamu alitengwa na Mungu kwa sababu ya kuanguka katika dhambi  kama wanadamu hatuna uwezo wowote wakujikomboa wenyewe kwa hiyo ukristo ni pale Mungu anapo wafikia wanadamu  chini kwa hiyo Mungu ana jitambulisha pamoja na wanadamu Kwahiyo Yesu alikuja Duniani kutoa uhai wake kama dhabihu kwa wanadamu . Ilikutuleta kwa Mungu 1kor 15:21-22) Wokovu kwa neema kwa njia ya Imani Mungu, Jehanamu na kurudi kwa kristo, Yesu hutoa wokovu kwa neema kwa njia ya imani Efeso 2:8-9.
Lazima tuupokee wokovu bure kwa kufanya Toba. Toba hutangulia imani  (Makro 1:15 Toba ni msamaha wa dhambi (matendo 2:36-38 kwa hiyo toba ni  mabadiliko ya moyoni yanayo tokeza mabadiliko ya nje na tabia kwa hiyo kila mtu anayezaliwa ,mara ya pili hufanyika mshirika wa kanisa la kristo liitwalo mwili wa kristo Mbingu na jehanamu .
 Jehanamu ni sehemu ya moto na mateso jehanamu ilitayarishwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake na sio wafu na wale wanaomkataa kristo Yesu kipawa chake cha bure cha wokovu wataenda jehanamu .Na hakuna anae weza kutoroka jehanamu baada ya kufika huko na haiwezekani kubadilimawazo baada ya kufa na jehanamu ni sehemu inayo inayo tunza moto (ziwala moto) Mbingu inawasubiri wale watakao kuwa wamempokea Yesu Moyoni mwao.
Kurudi kwa Yesu  , Biblia inaeleza kurudi kwa Yesu kutawala na Mungu mwisho atajenga mbingu mpya na nchi mpya , uf 21:1,10-11                                                                                                                                                                                                                                                     luka 16:22-26  Roho mtakatifu ni nafsi Yohana 14:15-18 Yesu alitoa ahadi kumtuma Roho mtakatifu iliawe nasi  na kufanya kazi ya kristo .
Ubatizo wa Roho mtakatifu                                                                                                                                                                                                                                         mtakatifu ni tukio linalo linalo fuata wokovu na linalo patikana kwa kila mtoto wa Mungu .Aina mbili za ujuzi wa Roho mtakatifu alizo fundisha Yesu (1). Ubatizo  yohana 4:13-14 (2) Ubatizo wa Roho mtakatifu yohana  7:37-39) Uponyaji wa kiungu:  Mungu anajifunua kwa watu wake kama mponyaji  kutoka  15:23-26) Jehova Rapha .Ni bwana atuponyae Mungu huponya mwili pamoja na nafsi msamaha –Roho ,Mwili =Mgonjwa ,Uponyaji sehemu ya kazi  ya Ukombozi wa kristo manabii walitabili uponyaji huu wa kimwili na kiroho .Isaya 53:1-5

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni